Bwana Mungu Mwenyezi, Umesema kuwa tunapokut tunaweza kupingana na shetani, naye atatukimbia (Yakobo 4:7). Ninaomba unisamehe kwa kiburi changu, ugumu wa moyo wangu na kutokuwa tayari kufuata ushawishi wa Roho Wako kwa sababu ya kiburi changu, kukukataa Wewe na Roho Wako. Bwana Yesu Kristo, Ninajinyenyekeza Kwako. Ninakuomba ee Bwana "uniumbie moyo safi, Uifanye upya roho iliyotulia ndani yangu! (Zab. 51:10). Bwana Yesu Kristo, Umeahidi katika Neno lako yakuwa tutakapokutafuta kwa moyo wote utaonekana (Yeremia 29:13). Hivyo Bwana, ninakulilia Wewe kwa moyo wangu wote siku hii, na ninakuomba usikie maombi yangu na unipe ukombozi ninaoomba kutoka kwa walaji wangu, kwa maana wana nguvu kuliko mimi! Neno lako linasema kuwa pale maskini alipokulilia, Bwana ukasikia na ukamwokoa na taabu zake zote (Zab 34:6). Timiza Neno lako kwa mtumishi wako, Bwana Yesu Kristo na kinywa changu utapiga kelele kwa sifa yako. Sina nguvu, silaha, wala hekima ya kupambana na walaji hawa katika maisha yangu. Siwezi kufikia ushindi wowote juu ya walaji bila Wewe Bwana. Lakini pamoja na Mtume ninasema kuwa "Ninaweza kufanya mambo yote kupitia Wewe, Bwana, Unitiaye nguvu" (Flp. 4:13). Hivyo ninakuja kwako sasa, Bwana Yesu, na yote, na ninaomba unitakase kwa chochote na kila kitu ambacho sio chako ambacho unaweza kuniwawezesha kwa Roho Wako. Naomba Mungu awakemea, walaji katika maisha yangu! Na Mungu wa Yakobo, ambaye kwa ajili yangu alikufa msalabani kwa fidia yangu, kukukemea wewe! Umiliki wako katika maisha yangu hautaweza kuvumilika tena. Sitakua Mshirika tena "Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza" (Efe. 5:11). Kuwa utatu wa Jina Takatifu la Yesu Kristo, ninawaamuru walaji wote mtawanyike kutoka kwangu. Kwa nguvu ya kusulibiwa kwa Yesu Kristo ninakukemea, shetani na marafiki zako wote kwa kuyabughudhi maisha yangu! Ninafahamu kwamba ilikuwa ni kuharibu kazi za shetani na kuwa Wewe Mwana wa Mungu ulidhihirishwa (1 Yohana 3: 8.), Na upetupatia nguvu na mamlaka ya kumkanyaga ibilisi chini ya miguu yetu na kuziharibu kazi zake zote. Pia ninafahamu kuwa Shetani anatetemeka pale amwonapo hata mtakatifu aliyedhaifu juu ya magoti yake na Jina lako Takatifu juu ya midomo yake. Hivyo hata kama mimi ni dhaifu na mnyonge na nisiye na uwezo wangu, hata kama ni mdhambi, Neno lako linasemaWewe ni Mkuu (Bwana na Mwokozi wangu Yesu Kristo) uliye ndani yangu kuliko shetani na marafiki zake waliopo duniani (1 Yohana 4: 4.). Pamoja nawe ndani yangu nitampinga shetani na marafiki zake wote watakimbia; sasa ninaweza kupingana na walaji wangu wote nao watakimbia. Na mpe mtumishi wako ushindi, Bwana Yesu Kristo. Unipatie ushindi dhidi ya walaji wa maisha yangu. Uniimarishe, Ee Bwana, kwa Neno lako na kwa Upanga wa Roho Wako ili niweze kuwashinda maadui wa nafsi yangu. Nisaidie, Bwana Yesu, Neno la Mungu, nivishe joho lililochovya katika Damu Yako; Wewe ambaye joho na paja liliandikwa Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana. Nifanye nijiunge na majeshi ya Mbinguni ambayo yamevaa nguo laini na wanao kufuata na Farasi weupe ili niweze kushinda vita dhidi ya walaji wangu. Kutoka katikati ya Majeshi ya Mbinguni ninachukua mamlaka na uwezo wa kukukemea wewe, shetani! Katika Jina la Yesu Kristo ninakukemea wewe mlaji muovu na mwaribifu! Ninakukemea wewe, mlaji na mwongo, uliyehukumiwa kuishi milele katika moto wa Jehanamu. Katika Jina la Yesu Kristo, ninaziharibu nguvu zako na ushawishi wowote ulioutekeleza katika maisha yangu siku za nyuma. Ninaondoa na kuharibu mabaki yote ya nguvu zako au ushawishi katika Jina la Yesu Kristo na kwa nguvu ya kumwaga damu yake. Katika Jina la yesu Kristo na kupitia maombezi ya Bikira Maria Mbarikiwa, na Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu na Kwaya Tisa za Mbinguni za Malaika, Ninakataa na ninamuomba Mungu kukemea kila roho au ushawishi wa kiovu kutoka katika maisha yangu ya nyuma; Ninamuomba Mungu kukemea roho ya mababu iliyopotea ambayo shetani anaitumia kuleta matatizo katika familia: Ninamuomba Mungu pia kukemea na kubatilisha nguvu za kichawi za ndugu yoyote, rafiki au adui ambaye anaweza akawa ametuma laana yoyote katika njia yangu kwa namna yoyote ile. Na Malaika wa Mungu anilinde na kuniokoa kutoka katika mapepo na uchungu wa kishirikina, na chuki zao na kutoka katika mifumo yao ya uovu. Aksante Bwana Yesu Kristo kwa vita hivi ambavyo umeruhusu vije katika maisha yangu ambapo kupitia hivyo ninakomaa katika roho na katika uhusiano wangu pamoja nawe. Aksante kwa nafasi uliyonipatia ya kukukaribia, Bwana. Aksante kwa kunifundisha namna ya kukuegamia na kukuamini Wewe katika Vitu Vyote. Vita ni kubwa kuliko mimi nilivyo, Bwana, Mungu wangu, lakini wewe ni mkuu kuliko adui ambao wanajipanga dhidi yangu. Amina (Tumia Zaburi zozote kati ya zifuatazo kutoa sauti ya shukrani yako Na shukrani Kwa Mungu kuhitimisha maombi ya siku: Zaburi 70, 92, 95, 100, 103, 107, 111, au 147) SIKU YA KENDA
Seigneur Dieu Tout-Puissant, Tu as dit que lorsque nous pourrons résister au diable, il nous fuira (Jacques 4 : 7). Je Te demande de me pardonner mon orgueil, la dureté de mon cœur et le refus de suivre l'influence de Ton Esprit à cause de mon orgueil, de Te rejeter, toi et Ton Esprit. Seigneur Jésus-Christ, je m'humilie devant toi. Je t'en supplie, Seigneur, "crée en moi un cœur pur et renouvelle en moi un esprit ferme !" de tout mon cœur aujourd'hui, et je te supplie d'entendre ma prière et de me donner la délivrance que je demande à mes clients , car ils sont plus forts que moi ! Accomplis ta parole à ton serviteur, Seigneur Jésus-Christ, et de ma bouche tu crieras ta louange. Je n'ai ni force, ni bras, ni sagesse pour combattre ces consommateurs dans ma vie. Je dites: "Je puis tout par Christ qui me fortifie" (Phil. 4:13). a par Ton Esprit. Que Dieu vous réprimande, consommateurs de ma vie !Et le Dieu de Jacob, qui est mort pour moi sur la croix pour ma rédemption, te réprimande ! Votre possession dans ma vie ne sera plus tolérée. Je ne serai plus un Compagnon "Ne partagez pas les oeuvres infructueuses des ténèbres" (Eph. 5:11). Étant la trinité du Saint Nom de Jésus-Christ, j'ordonne à tous les consommateurs d'être dispersés loin de moi. Par le pouvoir de la crucifixion de Jésus-Christ, je te réprimande, toi, le diable et tous tes amis pour avoir troublé ma vie ! Je sais que c'était pour détruire les oeuvres du diable et que toi, le Fils de Dieu, tu as été révélé (1 Jean 3 : 8), et tu nous as donné le pouvoir et l'autorité de fouler le diable sous nos pieds et de détruire tous ses œuvres. Je sais aussi que Satan tremble quand il voit même un saint faible à genoux et Ton Saint Nom sur ses lèvres. Ainsi, même si je suis faible et faible et impuissant, même si je suis un pécheur, Ta Parole dit que Tu es plus grand (mon Seigneur et Sauveur Jésus-Christ) en moi que le diable et ses amis sur la terre (1 Jean 4 : 4). . Avec toi en moi je résisterai au diable et tous ses amis fuiront ; maintenant je peux me disputer avec tous mes consommateurs et ils s'enfuiront. Et accorde la victoire à ton serviteur, Seigneur Jésus-Christ. Donnez-moi la victoire sur les consommateurs de ma vie. Fortifie-moi, Seigneur, par Ta Parole et par l'Épée de Ton Esprit afin que je puisse vaincre les ennemis de mon âme.Aide-moi, Seigneur Jésus, la Parole de Dieu, à revêtir une robe trempée dans Ton Sang; Toi dont la robe et la cuisse étaient écrites Roi des rois et Seigneur des seigneurs. Fais-moi rejoindre les armées du Ciel qui sont vêtues de vêtements souples et qui les suivent avec le Cheval blanc afin que je puisse gagner la bataille contre mes consommateurs. Du milieu de l'Armée Céleste, je prends l'autorité et le pouvoir de te réprimander, démon ! Au Nom de Jésus-Christ, je te réprimande, méchant et corrompu mangeur ! Je te réprimande, mangeur et menteur, qui es condamné à vivre éternellement dans le feu de l'enfer. Au Nom de Jésus-Christ, je détruis ton pouvoir et toute influence que tu as exercée dans ma vie passée. J'enlève et détruis tous les restes de votre pouvoir ou de votre influence au Nom de Jésus-Christ et par le pouvoir de Son sang versé. Au Nom de Jésus-Christ et par l'intercession de la Bienheureuse Vierge Marie, de Saint Michel Archange et des Neuf Chœurs Célestes des Anges, je rejette et demande à Dieu de réprimander tout mauvais esprit ou influence de ma vie passée; Je prie Dieu de réprimander l'esprit ancestral perdu que le diable utilise pour semer le trouble dans la famille : je prie également Dieu de réprimander et d'annuler les pouvoirs magiques de tout frère, ami ou ennemi qui aurait envoyé une malédiction sur mon chemin dans en tous cas.Et que l'Ange de Dieu me protège et me délivre des démons et de l'amertume superstitieuse, de leur haine et de leurs systèmes pervers. Merci Seigneur Jésus-Christ pour cette bataille que tu as permis d'entrer dans ma vie à travers laquelle je mûris en esprit et dans ma relation avec toi. Merci pour l'opportunité que tu m'as donnée de t'approcher, Seigneur. Merci de m'avoir appris à m'appuyer sur toi et à te faire confiance en toutes choses. La bataille est plus grande que moi, Seigneur mon Dieu, mais tu es plus grand que les ennemis qui complotent contre moi. Amen (Utilisez l'un des Psaumes suivants pour exprimer votre gratitude et vos remerciements à Dieu pour conclure la prière quotidienne : Psaumes 70, 92, 95, 100, 103, 107, 111 ou 147) NUIT JOUR
Toutes les données de traduction sont collectées via TraducteurAnglais.fr. Les données collectées sont ouvertes à tous, elles sont partagées de manière anonyme. Par conséquent, nous vous rappelons que vos informations et données personnelles ne doivent pas être incluses dans vos traductions à l'aide de Traducteur Anglais. Le contenu créé à partir des traductions des utilisateurs de TraducteurAnglais.fr est aussi de l'argot, des blasphèmes, etc. des articles peuvent être trouvés. Étant donné que les traductions créées peuvent ne pas convenir aux personnes de tous âges et de tous segments, nous vous recommandons de ne pas utiliser votre système en cas d'inconfort. Les insultes au droit d'auteur ou à la personnalité dans le contenu que nos utilisateurs ajoutent avec des traductions. S'il y a des éléments, les dispositions nécessaires seront prises en cas de rarr;"Contact" avec l'administration du site. La relecture est la dernière étape de l'édition, se concentrant sur la vérification du niveau de surface du texte: grammaire, orthographe, ponctuation et autres caractéristiques formelles telles que le style et le format des citations. La relecture n'implique aucune modification substantielle du contenu et de la forme du texte. Son objectif principal est de s'assurer que le travail est poli et prêt pour la publication.
Les fournisseurs tiers, y compris Google, utilisent des cookies pour diffuser des annonces en fonction des visites antérieures des internautes sur votre site Web ou sur d'autres pages. Grâce aux cookies publicitaires, Google et ses partenaires adaptent les annonces diffusées auprès de vos visiteurs en fonction de leur navigation sur vos sites et/ou d'autres sites Web. Les utilisateurs peuvent choisir de désactiver la publicité personnalisée dans les Paramètres des annonces. Vous pouvez également suggérer à vos visiteurs de désactiver les cookies d'un fournisseur tiers relatifs à la publicité personnalisée en consultant le site www.aboutads.info.